![]() |
Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa akiangalia kifaa kitakachotumika kuingiza namba za malipo ya maji. |
![]() |
Prof. Makame Mbarawa akizungumza na viongozi wa Mkoa na Wilaya baada ya kuzindua rasmi matumizi ya malipo kabla ya maji, katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. |
![]() |
Hiki ndicho kifaa kitakachotumika kulipia malipo ya maji pamoja na mita ya kusoma spidi ya maji. |










0 comments:
Post a Comment