| Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Londolwo wilayani Longido aliposimamaishwa njiani kujibu changamoto zao akielekea Longido na wakazi hao. |
| Kassim Majaliwa akizungumza na wafanyakazi wa mpaka wa Namanga(hawapo pichani) baada yakukagua kituo kipya cha forodha. |
| Wananchi wa Namanga waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wakumsikiliza Mhe. Kassim Majaliwa. |
| Kassim Majaliwa akisalimiana na watumishi wanaofanya kazi katika mpaka wa Namanga, wilayani Longido. |






0 comments:
Post a Comment