| Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa NCCA na balaza la wafugaji wilayani Ngorongoro. |
| Baadhi ya watumishi wa NCCA na balaza la wafugaji wakimsikiliza Kassim Majaliwa katika ukumbi wa NCCA,Ngorongoro. |
| Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo baada yakufanya ziara yake katika halmashauri tatu za Mkoa wa Arusha. |






0 comments:
Post a Comment