| Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akikagua shughuli za uzalishaji katika kiwanda cha Lodhia Industries,Njiro. |
| Kassim Majaliwa akielekezwa shughuli za uzalishaji mali katika kiwanda cha Hans Paul,Njiro. |
![]() |
| Waziri Mkuu akimkabidhi madawati 1000 Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo yaliyotengenezwa na kiwanda cha Fibre board,Njiro |
| Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akihutubia wananchi wa jiji la Arusha katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid,Arusha. |
| Kassim Majaliwa akimkabidhi funguo za pikipiki mmoja wa waendesha bodaboda wa jiji la Arusha. |
| Hizi ni pikipiki 200 alizozikabidhi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa waendesha bodaboda,Jijini Arusha |
| Hili ni vazi rasmi la wazawa wa mkoa wa Arusha(wamasai),Majaliwa akiwa amevalishwa kumpa heshima kubwa kama mmoja wa viongozi wa kabila la hilo. |







0 comments:
Post a Comment